2 Samweli 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Baadaye watu wakamletea Daudi habari hiyo, naye akatuma watu mara moja kwenda kuwapokea, kwa sababu watu hao walikuwa wamefedheheshwa sana; na mfalme akaendelea kusema: “Kaeni katika Yeriko+ mpaka ndevu zenu ziote kabisa. Ndipo mrudi.”
5 Baadaye watu wakamletea Daudi habari hiyo, naye akatuma watu mara moja kwenda kuwapokea, kwa sababu watu hao walikuwa wamefedheheshwa sana; na mfalme akaendelea kusema: “Kaeni katika Yeriko+ mpaka ndevu zenu ziote kabisa. Ndipo mrudi.”