Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 6:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kisha wakaliteketeza jiji kwa moto na kila kitu kilichokuwamo.+ Isipokuwa fedha na dhahabu na vyombo vya shaba na chuma wakaviweka katika hazina ya nyumba ya Yehova.+

  • Yoshua 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na majiji ya kabila la wana wa Benyamini kulingana na familia zao yalikuwa ni Yeriko+ na Beth-hogla na Emek-kesisi,

  • 1 Mambo ya Nyakati 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Baadaye watu wakaenda, wakamwambia Daudi kuhusu wale watu; naye akatuma watu mara moja kwenda kuwapokea, kwa sababu watu hao walikuwa wamefedheheshwa sana; na mfalme akaendelea kusema: “Kaeni katika Yeriko+ mpaka ndevu zenu ziote kabisa. Ndipo mrudi.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki