2 Samweli 14:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Absalomu akamjibu Yoabu: “Tazama! nilikutumia ujumbe huu, ‘Njoo nikutume kwa mfalme, umuulize: “Kwa nini niliondoka Geshuri?+ Afadhali ningekaa huko. Sasa acha nikauone uso wa mfalme, na ikiwa nina hatia, basi aniue.”’”
32 Absalomu akamjibu Yoabu: “Tazama! nilikutumia ujumbe huu, ‘Njoo nikutume kwa mfalme, umuulize: “Kwa nini niliondoka Geshuri?+ Afadhali ningekaa huko. Sasa acha nikauone uso wa mfalme, na ikiwa nina hatia, basi aniue.”’”