32 Kwa hiyo Absalomu akamwambia Yoabu: “Tazama! Nilituma ujumbe kwako, nikisema, ‘Njoo hapa nikutume kwa mfalme, kusema: “Kwa nini nimekuja kutoka Geshuri?+ Ingalikuwa afadhali kama bado ningalikuwa kule. Na sasa acha niuone uso wa mfalme, na ikiwa ndani yangu mna kosa lolote,+ basi na aniue.”’”