2 Samweli 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi mfalme akainuka na kwenda kuketi kwenye lango la jiji, na watu wote wakaambiwa hivi: “Sasa mfalme ameketi langoni.” Kisha watu wote wakaja mbele ya mfalme. Lakini Waisraeli walikuwa wamekimbia, kila mmoja kwenda nyumbani kwake.+
8 Basi mfalme akainuka na kwenda kuketi kwenye lango la jiji, na watu wote wakaambiwa hivi: “Sasa mfalme ameketi langoni.” Kisha watu wote wakaja mbele ya mfalme. Lakini Waisraeli walikuwa wamekimbia, kila mmoja kwenda nyumbani kwake.+