2 Samweli 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi mfalme akaondoka, akaketi langoni,+ nao wakawapa watu wote habari hiyo, wakisema: “Tazama, mfalme ameketi langoni.” Na watu wote wakaanza kuja mbele ya mfalme. Lakini Israeli walikuwa wamekimbia kila mmoja kwenda nyumbani kwake.+
8 Basi mfalme akaondoka, akaketi langoni,+ nao wakawapa watu wote habari hiyo, wakisema: “Tazama, mfalme ameketi langoni.” Na watu wote wakaanza kuja mbele ya mfalme. Lakini Israeli walikuwa wamekimbia kila mmoja kwenda nyumbani kwake.+