Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 18:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi mfalme akawaambia: “Lolote lililo jema machoni penu nitafanya.”+ Na mfalme akaendelea kusimama kando ya lango,+ na watu wote wakatoka kwa mamia yao na kwa maelfu yao.+

  • 2 Samweli 18:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi Daudi alikuwa ameketi kati ya yale malango mawili.+ Na wakati huo mlinzi+ akaenda juu ya paa ya lango kando ya ukuta. Baada ya muda akainua macho yake, akaona, na tazama! palikuwa na mtu anakimbia akiwa peke yake.

  • 1 Wafalme 22:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Sasa mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda walikuwa wameketi kila mmoja juu ya kiti chake cha ufalme, wakiwa wamevaa mavazi ya kifalme,+ katika uwanja wa kupuria kwenye mwingilio wa lango la Samaria; na manabii wote walikuwa wakitenda kama manabii mbele yao.+

  • Yeremia 38:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na Ebed-meleki Mwethiopia,+ mtu aliyekuwa towashi na aliyekuwa katika nyumba ya mfalme, akasikia kwamba walikuwa wamemtia Yeremia ndani ya tangi; na mfalme alikuwa ameketi katika Lango la Benyamini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki