1 Wafalme 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kisha Nathani akasema: “Bwana wangu mfalme, je, ulisema hivi: ‘Adoniya atakuwa mfalme baada yangu, na ndiye atakayeketi kwenye kiti changu cha ufalme’?+
24 Kisha Nathani akasema: “Bwana wangu mfalme, je, ulisema hivi: ‘Adoniya atakuwa mfalme baada yangu, na ndiye atakayeketi kwenye kiti changu cha ufalme’?+