-
1 Wafalme 2:30Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
30 Basi Benaya akaenda katika hema la Yehova na kumwambia, “Mfalme anasema hivi: ‘Toka nje!’” Lakini Yoabu akasema: “Hapana! Nitafia hapa.” Benaya akarudi kwa mfalme na kumwambia: “Hivi ndivyo alivyosema Yoabu, na hivi ndivyo alivyonijibu.”
-