30 Basi Benaya akaingia katika hema la Yehova na kumwambia: “Mfalme amesema hivi, ‘Toka nje!’” Lakini akasema: “Hapana! Kwa maana hapa+ ndipo nitakapokufa.” Ndipo Benaya akamletea mfalme neno, na kusema: “Hivi ndivyo Yoabu amesema, na hivi ndivyo alivyonijibu.”