42 Ndipo mfalme akamwita Shimei na kumuuliza: “Je, sikukuapisha kwa jina la Yehova na kukuonya kwa kusema, ‘Siku utakapotoka hapa na kwenda mahali pengine popote, ujue kwa hakika kwamba utakufa’? Na je, wewe hukuniambia, ‘Jambo ulilosema ni sawa; nitatii’?+