42 Ndipo mfalme akatuma na kumwita+ Shimei na kumwambia: “Je, sikukuweka chini ya kiapo kwa Yehova na kukuonya,+ nikisema, ‘Siku utakapotoka kwenda nje na utakapoenda hapa na pale ujue bila shaka kwamba utakufa hakika,’ na je, wewe hukuniambia, ‘Neno ambalo nimesikia ni jema’?+