6 Sasa waamuru watu wako wanikatie mierezi ya Lebanoni.+ Watumishi wangu watafanya kazi pamoja na watumishi wako, nami nitawalipa watumishi wako mishahara kulingana na kiwango utakachoweka, kwa maana unajua kwamba hakuna yeyote kati yetu anayejua kukata miti kama Wasidoni.”+