1 Wafalme 7:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na kwenye kuta hizo za pembeni kati ya mihimili hiyo kulikuwa na simba,+ ng’ombe dume, na makerubi,+ na muundo huohuo ulikuwa kwenye mihimili. Juu na chini ya simba na ng’ombe dume hao kulikuwa na mashada ya maua yaliyoyeyushwa.
29 Na kwenye kuta hizo za pembeni kati ya mihimili hiyo kulikuwa na simba,+ ng’ombe dume, na makerubi,+ na muundo huohuo ulikuwa kwenye mihimili. Juu na chini ya simba na ng’ombe dume hao kulikuwa na mashada ya maua yaliyoyeyushwa.