1 Wafalme 9:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mara tatu kwa mwaka+ Sulemani alitoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika kwenye madhabahu aliyomjengea Yehova,+ pia alifukiza moshi wa dhabihu kwenye madhabahu iliyokuwa mbele za Yehova, basi akaikamilisha nyumba.+
25 Mara tatu kwa mwaka+ Sulemani alitoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika kwenye madhabahu aliyomjengea Yehova,+ pia alifukiza moshi wa dhabihu kwenye madhabahu iliyokuwa mbele za Yehova, basi akaikamilisha nyumba.+