1 Wafalme 9:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na Sulemani akaendelea, mara tatu+ katika mwaka, kutoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika juu ya madhabahu aliyomjengea Yehova,+ na moshi wa dhabihu ukafukizwa katika madhabahu,+ iliyokuwa mbele za Yehova; naye akaimaliza nyumba.+
25 Na Sulemani akaendelea, mara tatu+ katika mwaka, kutoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika juu ya madhabahu aliyomjengea Yehova,+ na moshi wa dhabihu ukafukizwa katika madhabahu,+ iliyokuwa mbele za Yehova; naye akaimaliza nyumba.+