2 Wafalme 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sasa Eliya akamwambia: “Kaa hapa, tafadhali, kwa sababu Yehova amenituma Yordani.” Lakini Elisha akasema: “Kwa hakika kama Yehova anavyoishi na kama unavyoishi,* sitakuacha.” Basi wote wawili wakaendelea na safari. 2 Wafalme Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:6 Igeni Imani Yao, makala 1 Mnara wa Mlinzi,4/15/2015, kur. 12-13
6 Sasa Eliya akamwambia: “Kaa hapa, tafadhali, kwa sababu Yehova amenituma Yordani.” Lakini Elisha akasema: “Kwa hakika kama Yehova anavyoishi na kama unavyoishi,* sitakuacha.” Basi wote wawili wakaendelea na safari.