2 Wafalme 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sasa Eliya akamwambia: “Tafadhali, keti hapa, kwa sababu Yehova amenituma Yordani.”+ Lakini akasema: “Kama Yehova anavyoishi na kama nafsi yako inavyoishi, mimi sitakuacha.”+ Basi wote wawili wakaendelea mbele. 2 Wafalme Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:6 Igeni Imani Yao, makala 1 Mnara wa Mlinzi,4/15/2015, kur. 12-13
6 Sasa Eliya akamwambia: “Tafadhali, keti hapa, kwa sababu Yehova amenituma Yordani.”+ Lakini akasema: “Kama Yehova anavyoishi na kama nafsi yako inavyoishi, mimi sitakuacha.”+ Basi wote wawili wakaendelea mbele.