Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 32:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Baada ya hayo akasema; “Niache niende, kwa maana kumepambazuka.” Naye akajibu, akasema: “Mimi sitakuacha uende mpaka unibariki kwanza.”+

  • Ruthu 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Naye Ruthu akasema: “Usiniombe nikuache, nigeuke nisifuatane nawe; kwa maana uendako nitaenda, na mahali utakapokaa usiku kucha nitakaa.+ Watu wako watakuwa watu wangu,+ na Mungu wako Mungu wangu.+

  • 2 Wafalme 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na Eliya akaanza kumwambia Elisha: “Keti hapa, tafadhali, kwa sababu Yehova amenituma niende mpaka Betheli.” Lakini Elisha akasema: “Kama Yehova anavyoishi+ na kama nafsi yako inavyoishi,+ mimi sitakuacha.”+ Basi wakashuka kwenda Betheli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki