13 Kisha Elisha akamwambia Gehazi: “Tafadhali mwambie mwanamke huyu, ‘Umejitaabisha sana kwa ajili yetu.+ Tukufanyie nini?+ Je, ninaweza kuzungumza na mfalme+ au mkuu wa jeshi kwa niaba yako?’” Lakini mwanamke huyo akasema: “Ninaishi miongoni mwa watu wangu mwenyewe.”