13 Kisha akamwambia huyo mtumishi wake: “Tafadhali, mwambie hivi, ‘Tazama, umejinyima kwa ajili yetu kwa kujinyima huku kote.+ Ufanyiwe nini?+ Je, kuna lolote la kusema kwa mfalme+ au kwa mkuu+ wa jeshi kwa ajili yako?’” Ndipo mwanamke huyo akasema: “Ninakaa kati ya watu wangu mwenyewe.”+