2 Wafalme 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Alipoingia, tazama, wakuu wa majeshi walikuwa wameketi. Akasema: “Nina neno kwa ajili yako,+ ewe mkuu.” Ndipo Yehu akasema: “Ni kwa ajili ya nani kati yetu sote?” Kisha akasema: “Kwa ajili yako, ewe mkuu.”
5 Alipoingia, tazama, wakuu wa majeshi walikuwa wameketi. Akasema: “Nina neno kwa ajili yako,+ ewe mkuu.” Ndipo Yehu akasema: “Ni kwa ajili ya nani kati yetu sote?” Kisha akasema: “Kwa ajili yako, ewe mkuu.”