9 Na ikawa kwamba mara walipokuwa wamevuka, Eliya akamwambia Elisha: “Omba lile ninalopaswa kukutendea kabla sijachukuliwa kutoka kwako.”+ Naye Elisha akasema: “Tafadhali, sehemu mbili+ za roho+ yako zije kwangu.”+
2 Kwa hiyo Elisha akamwambia: “Nikufanyie nini?+ Niambie; una nini nyumbani?” Naye akasema: “Mjakazi wako hana chochote nyumbani ila mtungi wenye mdomo wa mafuta.”+