Methali 3:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Usiwanyime watu mema wanayostahili,+ mkono wako ukiwa na uwezo wa kuyafanya.+ Wagalatia 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa kweli, basi, tukiwa na wakati unaofaa kwa ajili ya hilo,+ tuwatendee wote mema, na hasa wale ambao katika imani ni jamaa zetu.+ Waebrania 13:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Zaidi ya hayo, msisahau kutenda mema+ na kushiriki vitu pamoja na wengine, kwa maana Mungu hupendezwa vema na dhabihu za namna hiyo.+ Yakobo 1:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Namna ya ibada iliyo safi+ na isiyotiwa unajisi+ kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki+ yao, na kuendelea kujitunza bila doa+ kutokana na ulimwengu.+
10 Kwa kweli, basi, tukiwa na wakati unaofaa kwa ajili ya hilo,+ tuwatendee wote mema, na hasa wale ambao katika imani ni jamaa zetu.+
16 Zaidi ya hayo, msisahau kutenda mema+ na kushiriki vitu pamoja na wengine, kwa maana Mungu hupendezwa vema na dhabihu za namna hiyo.+
27 Namna ya ibada iliyo safi+ na isiyotiwa unajisi+ kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki+ yao, na kuendelea kujitunza bila doa+ kutokana na ulimwengu.+