2 Wafalme 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini Elisha mtu wa Mungu wa kweli aliposikia kwamba mfalme wa Israeli ameyararua mavazi yake, mara moja akamtumia mfalme ujumbe huu: “Kwa nini uliyararua mavazi yako? Tafadhali, mruhusu aje kwangu ili ajue kwamba kuna nabii katika Israeli.”+
8 Lakini Elisha mtu wa Mungu wa kweli aliposikia kwamba mfalme wa Israeli ameyararua mavazi yake, mara moja akamtumia mfalme ujumbe huu: “Kwa nini uliyararua mavazi yako? Tafadhali, mruhusu aje kwangu ili ajue kwamba kuna nabii katika Israeli.”+