Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 17:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ndipo mwanamke huyo akamwambia Eliya: “Sasa ninajua kwamba kwa kweli wewe ni mtu wa Mungu+ na kwamba neno la Yehova kutoka kinywani mwako ni kweli.”

  • 1 Wafalme 19:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Pia unapaswa kumtia mafuta Yehu+ mjukuu wa Nimshi awe mfalme wa Israeli, na umtie mafuta Elisha mwana wa Shafati kutoka Abel-mehola awe nabii baada yako.+

  • 2 Wafalme 3:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo Yehoshafati akauliza: “Je, hakuna nabii wa Yehova mahali hapa ambaye tunaweza kumwomba ushauri kutoka kwa Yehova?+ Basi mmoja wa watumishi wa mfalme wa Israeli akajibu: “Yupo Elisha+ mwana wa Shafati, aliyekuwa akimmiminia Eliya maji mikononi.”*+ 12 Kisha Yehoshafati akasema: “Neno la Yehova liko pamoja naye.” Basi mfalme wa Israeli na pia Yehoshafati na mfalme wa Edomu wakashuka kwenda kumwona.

  • 2 Wafalme 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sasa mfalme alikuwa akizungumza na Gehazi mtumishi wa yule mtu wa Mungu wa kweli, akamwambia: “Tafadhali, nisimulie mambo yote makuu ambayo Elisha amefanya.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki