-
2 Wafalme 3:11, 12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Ndipo Yehoshafati akauliza: “Je, hakuna nabii wa Yehova mahali hapa ambaye tunaweza kumwomba ushauri kutoka kwa Yehova?+ Basi mmoja wa watumishi wa mfalme wa Israeli akajibu: “Yupo Elisha+ mwana wa Shafati, aliyekuwa akimmiminia Eliya maji mikononi.”*+ 12 Kisha Yehoshafati akasema: “Neno la Yehova liko pamoja naye.” Basi mfalme wa Israeli na pia Yehoshafati na mfalme wa Edomu wakashuka kwenda kumwona.
-