-
2 Wafalme 9:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Basi mpanda farasi akaenda kukutana naye, akasema: “Mfalme anauliza, ‘Je, mmekuja kwa amani?’” Lakini Yehu akasema: “Kwa nini unauliza kuhusu ‘amani’? Nifuate!”
Basi yule mlinzi akasema: “Mjumbe aliwafikia, lakini hajarudi.”
-