2 Wafalme 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi mpanda-farasi akaenda kumpokea na kusema: “Mfalme amesema hivi, ‘Je, kuna amani?’” Lakini Yehu akasema: “Una nini na ‘amani’?+ Nenda nyuma yangu!” Na yule mlinzi+ akaendelea kutoa habari, akisema: “Yule mjumbe aliwafikia, lakini hakurudi.”
18 Basi mpanda-farasi akaenda kumpokea na kusema: “Mfalme amesema hivi, ‘Je, kuna amani?’” Lakini Yehu akasema: “Una nini na ‘amani’?+ Nenda nyuma yangu!” Na yule mlinzi+ akaendelea kutoa habari, akisema: “Yule mjumbe aliwafikia, lakini hakurudi.”