2 Wafalme 12:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yozakari mwana wa Shimeathi na Yehozabadi mwana wa Shomeri, watumishi wake, ndio waliompiga na kumuua.+ Wakamzika pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi, na Amazia mwanawe akawa mfalme baada yake.+
21 Yozakari mwana wa Shimeathi na Yehozabadi mwana wa Shomeri, watumishi wake, ndio waliompiga na kumuua.+ Wakamzika pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi, na Amazia mwanawe akawa mfalme baada yake.+