2 Wafalme 12:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na Yozakari mwana wa Shimeathi na Yehozabadi+ mwana wa Shomeri, watumishi wake, ndio waliompiga, hata akafa. Basi wakamzika pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi; na Amazia+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.
21 Na Yozakari mwana wa Shimeathi na Yehozabadi+ mwana wa Shomeri, watumishi wake, ndio waliompiga, hata akafa. Basi wakamzika pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi; na Amazia+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.