2 Mambo ya Nyakati 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mfalme Sulemani alimpa pia malkia wa Sheba kitu chochote alichotamani na kuomba, zaidi ya* vitu alivyomletea mfalme. Kisha akaondoka na kurudi katika nchi yake, pamoja na watumishi wake.+ 2 Nyakati Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 9:12 w99 11/1 20 2 Mambo ya Nyakati Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 9:12 Mnara wa Mlinzi,11/1/1999, uku. 20
12 Mfalme Sulemani alimpa pia malkia wa Sheba kitu chochote alichotamani na kuomba, zaidi ya* vitu alivyomletea mfalme. Kisha akaondoka na kurudi katika nchi yake, pamoja na watumishi wake.+