2 Mambo ya Nyakati 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Msimruhusu mtu yeyote aingie katika nyumba ya Yehova isipokuwa makuhani na Walawi wanaohudumu.+ Hao wanaweza kuingia kwa sababu ni kikundi kitakatifu, na watu wote watatimiza wajibu kwa Yehova.
6 Msimruhusu mtu yeyote aingie katika nyumba ya Yehova isipokuwa makuhani na Walawi wanaohudumu.+ Hao wanaweza kuingia kwa sababu ni kikundi kitakatifu, na watu wote watatimiza wajibu kwa Yehova.