2 Mambo ya Nyakati 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na msimruhusu mtu yeyote aingie katika nyumba ya Yehova+ ila makuhani na wale Walawi wanaohudumu.+ Hao ndio watakaoingia, kwa sababu wao ni kikundi kitakatifu,+ na watu wote watashika huo wajibu kwa Yehova.
6 Na msimruhusu mtu yeyote aingie katika nyumba ya Yehova+ ila makuhani na wale Walawi wanaohudumu.+ Hao ndio watakaoingia, kwa sababu wao ni kikundi kitakatifu,+ na watu wote watashika huo wajibu kwa Yehova.