2 Mambo ya Nyakati 23:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Baada ya hayo, watu wote wakaenda kwenye nyumba ya Baali na kuibomoa,*+ wakavunja vipandevipande madhabahu zake na sanamu zake,+ nao wakamuua Matani kuhani wa Baali+ mbele ya madhabahu.
17 Baada ya hayo, watu wote wakaenda kwenye nyumba ya Baali na kuibomoa,*+ wakavunja vipandevipande madhabahu zake na sanamu zake,+ nao wakamuua Matani kuhani wa Baali+ mbele ya madhabahu.