20 Kisha akawachukua wakuu wa mamia,+ watu mashuhuri, watawala wa watu, na watu wote nchini, wakamsindikiza mfalme kushuka kutoka katika nyumba ya Yehova. Halafu wakaja katika nyumba ya mfalme kupitia lango la juu na kumweka mfalme kwenye kiti+ cha ufalme.+