2 Mambo ya Nyakati 32:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Je, Hezekia hawapotoshi ili mfe kwa njaa kali na kiu, anaposema: “Yehova Mungu wetu atatuokoa kutoka mikononi mwa mfalme wa Ashuru”?+
11 Je, Hezekia hawapotoshi ili mfe kwa njaa kali na kiu, anaposema: “Yehova Mungu wetu atatuokoa kutoka mikononi mwa mfalme wa Ashuru”?+