9 Na chochote kinachohitajiwa—ng’ombe dume wachanga+ pamoja na kondoo dume+ na wanakondoo+ kwa ajili ya dhabihu za kuteketezwa kwa Mungu wa mbinguni, ngano,+ chumvi,+ divai,+ na mafuta,+ kama watakavyosema makuhani walio Yerusalemu—waendelee kupewa vitu hivyo siku baada ya siku bila kukosa,