9 Ingawa sisi ni watumwa,+ Mungu wetu hajatuacha utumwani; bali ametutendea kwa upendo mshikamanifu mbele ya wafalme wa Uajemi,+ ili kutupumzisha tuweze kuisimamisha nyumba ya Mungu wetu+ na kuijenga upya nyumba hiyo ambayo ni magofu na kutupatia ukuta wa mawe katika Yuda na Yerusalemu.