9 Kwa maana sisi ni watumishi;+ na katika utumishi wetu Mungu hakutuacha,+ bali hutupa sisi fadhili zenye upendo mbele ya wafalme wa Uajemi,+ kutuamsha ili tuisimamishe nyumba ya Mungu+ wetu na kurudisha mahali pake palipofanywa ukiwa+ na kutupa sisi ukuta wa mawe+ katika Yuda na katika Yerusalemu.