Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akalilima na kuliondoa mawe na kulipanda mzabibu bora mwekundu, na kujenga mnara katikati yake.+ Na pia kulikuwa na shinikizo la divai ambalo alichimba ndani yake.+ Naye akaendelea kulitumaini lizae zabibu,+ lakini mwishowe likazaa zabibu-mwitu.+

  • Isaya 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na sasa, tafadhali, acheni niwajulishe ninyi kitu nitakacholifanyia shamba langu la mizabibu: Ukigo wake utaondolewa,+ nalo halitakosa kuteketezwa kwa moto.+ Ukuta wake wa mawe utabomolewa, nalo halitakosa kuwa mahali pa kukanyaga-kanyaga.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki