Ezra 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini watu waliotoka uhamishoni wakafanya kama ilivyokubaliwa; na kuhani Ezra na viongozi wa koo,* watu wote ambao majina yao yalikuwa yameorodheshwa, wakakusanyika peke yao siku ya kwanza ya mwezi wa kumi ili kuchunguza jambo hilo;
16 Lakini watu waliotoka uhamishoni wakafanya kama ilivyokubaliwa; na kuhani Ezra na viongozi wa koo,* watu wote ambao majina yao yalikuwa yameorodheshwa, wakakusanyika peke yao siku ya kwanza ya mwezi wa kumi ili kuchunguza jambo hilo;