16 Na hao waliokuwa wahamishwa hapo zamani+ wakafanya hivyo; kisha Ezra kuhani na wanaume waliokuwa vichwa vya upande wa baba kwa ajili ya nyumba zao za ukoo,+ wote kwa majina yao, wakajitenga na kuanza kuketi katika siku ya kwanza ya mwezi wa kumi+ ili kuuliza jambo hilo.+