34 Pia, tukapiga kura ili kupanga wakati ambao kila ukoo wa makuhani, Walawi, na watu wangeleta kuni kwenye nyumba ya Mungu wetu wakati uliowekwa, mwaka baada ya mwaka, ili kuwasha moto kwenye madhabahu ya Yehova Mungu wetu, kama ilivyoandikwa katika Sheria.+