-
Mambo ya Walawi 6:12, 13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 Ni lazima moto wa madhabahu uendelee kuwaka. Haupaswi kuzimika. Kila asubuhi kuhani ataongeza kuni+ kwenye moto huo na kupanga dhabihu ya kuteketezwa juu yake, naye atateketeza mafuta ya dhabihu za ushirika ili yafuke moshi.+ 13 Hakikisheni kwamba moto unaendelea kuwaka daima kwenye madhabahu. Haupaswi kuzimika.
-