14 Msichana angeingia kwa mfalme jioni, na asubuhi angerudi kwenye nyumba ya pili ya wanawake iliyosimamiwa na Shaashgazi, towashi wa mfalme,+ mlinzi wa masuria. Hangerudi kwa mfalme tena isipokuwa iwe mfalme alipendezwa naye kwa njia ya pekee na kumwita kwa jina.+