Esta 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Esta hakusema lolote kuhusu watu wake wa ukoo na watu wa taifa lake,+ kama Mordekai alivyokuwa amemwagiza; Esta aliendelea kutii maneno ya Mordekai, kama alivyofanya alipokuwa akimlea.+
20 Esta hakusema lolote kuhusu watu wake wa ukoo na watu wa taifa lake,+ kama Mordekai alivyokuwa amemwagiza; Esta aliendelea kutii maneno ya Mordekai, kama alivyofanya alipokuwa akimlea.+