Esta 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Pia akampa nakala ya amri iliyoandikwa na kutolewa Shushani*+ kwamba waangamizwe. Hathaki alipaswa kumwonyesha Esta na kumfafanulia+ na kumwambia aende kwa mfalme kumwomba kibali na kumsihi moja kwa moja kwa niaba ya Wayahudi.
8 Pia akampa nakala ya amri iliyoandikwa na kutolewa Shushani*+ kwamba waangamizwe. Hathaki alipaswa kumwonyesha Esta na kumfafanulia+ na kumwambia aende kwa mfalme kumwomba kibali na kumsihi moja kwa moja kwa niaba ya Wayahudi.