8 Naye akampa nakala+ ya maandishi ya sheria ya kuwaangamiza iliyokuwa imetolewa Shushani+ ili amwonyeshe Esta na kumweleza na kumwagiza+ kwamba aingie kwa mfalme na kumwomba kibali+ na kutoa ombi moja kwa moja mbele yake kwa ajili ya watu wake mwenyewe.+