Ayubu 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Alipokuwa bado anaongea, mwingine akaja na kusema: “Moto kutoka kwa Mungu ulianguka kutoka mbinguni ukawateketeza* kabisa kondoo na watumishi! Nimeponyoka mimi peke yangu, nami nimekuletea habari.” Ayubu Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:16 Mnara wa Mlinzi,11/15/1994, kur. 11-12
16 Alipokuwa bado anaongea, mwingine akaja na kusema: “Moto kutoka kwa Mungu ulianguka kutoka mbinguni ukawateketeza* kabisa kondoo na watumishi! Nimeponyoka mimi peke yangu, nami nimekuletea habari.”