Ayubu 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Huyu alipokuwa bado anasema, yule naye akaja na kusema: “Moto wa Mungu ulianguka kutoka mbinguni+ na kuwaka katikati ya kondoo na watumishi, ukawateketeza; nami nikaponyoka, mimi peke yangu, ili nikuambie.” Ayubu Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:16 Mnara wa Mlinzi,11/15/1994, kur. 11-12
16 Huyu alipokuwa bado anasema, yule naye akaja na kusema: “Moto wa Mungu ulianguka kutoka mbinguni+ na kuwaka katikati ya kondoo na watumishi, ukawateketeza; nami nikaponyoka, mimi peke yangu, ili nikuambie.”